Fauzia Rajab Shaban, mwanafunzi mwenye ualbino kutoka Kisauni, Zanzibar, aliyehitimu kidato cha sita na kupata ufaulu wa daraja la kwanza, ameeleza kuguswa na kusikitishwa kwake na matukio ya ukatili ...
Chama cha Hisabati Tanzania (MAT/CHAHITA) kimetangaza matokeo ya Mtihani wa Mashindano ya Kitaifa ya Hisabati (TAMO) mwaka huu, yakionesha wavulana kuongoza kwa kupata alama za juu ukilinganisha na ...
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, anaongoza kwa kishindo katika matokeo ya awali ya uchaguzi yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi. https://p.dw.com/p/56w5H Rais wa ...
Msemaji wa polisi wa eneo hilo, Lydia Tumushabe, amepinga kauli hizo akisisitiza kuwa polisi walilazimika kutumia nguvu kwa kujilinda baada ya kile alichokitaja kama shambulio la “kundi la wahuni wa ...
DAR ES SALAAM :BARAZA la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya upimaji wa kitaifa wa darasa la nne, ambapo ufaulu kwa darasa la nne umeongezeka asilimia 2.67 na ufaulu kidato cha pili ...
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya upimaji wa kitaifa wa darasa la nne na kidato cha pili. Matokeo yametangazwa leo Januari 10, 2026 na Katibu Mtendaji wa ...
Tume Huru ya Uchaguzi nchini Côte d'Ivoire imechapisha matokeo makuu ya uchaguzi wa wabunge uliofanyika Desemba 27. Uchaguzi huo ulioshuhudia uwepo mkubwa wa wagombea huru, mashindano kati ya chama ...
MITIHANI ya taifa ya kidato cha nne imeanza leo nchini ikiwa ni kilele cha safari ya miaka minne ya masomo kwa maelfu ya wanafunzi wa shule zote za sekondari za serikali na binafsi. Wakati wanafunzi ...
Dar es Salaam. Wanafunzi 595,816 wanatarajia kuanza mtihani wa kumaliza elimu ya sekondari kuanzia kesho Jumatatu, Novemba 17, 2025, ikiwa ni kukamilisha safari yao ya miaka minne. Idadi ya watahiniwa ...
Ingawa Tume hiyo inasema kuwa bado haifahamu ukubwa wa tatizo, lakini inaisitiza kwamba matokeo ya uchunguzi huo yanaweza kukamilika chini ya miezi miwili. Na Mariam Mjahid & Asha Juma Chanzo cha ...
MWIMBAJI wa Bongo Fleva, Pasha alianza muziki akiwa Sekondari huko nyumbani kwao mkoani Mtwara, alipomaliza kidato cha nne mwaka 2005 akaenda Dar es Salaam kwa ajili ya kurekodi wimbo wake wa kwanza.
Rais wa zamani wa Malawi Peter Mutharika anaongoza katika uchaguzi uliofanyika wiki hii ambapo alikuwa akikabiliana kwa mara ya nne na rais wa sasa Lazarus Chakwera, kulingana na matokeo ya awali.